News/Stories

User Rating: 2 / 5

Star ActiveStar ActiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Chama cha Wanahabari Wanawake nchini – TAMWA leo, kinaungana na mashirika yote nchini yanayotetea haki za binadamu hasa wanawake na watoto ulimwenguni kusherekea siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa tarehe 8 mwezi Machi kila mwaka.

 Maadhimisho haya yanabeba kauli mbiu ya kitaifa inayosema  “Wakati ni sasa: Wanaharakati Mijini na Vijijini kubadilisha maisha ya wanawake”, ambayo inatutaka wote tushirikiane kikamilifu kubadilisha maisha ya wanawake kwa kuondokana na ukatili wa kijinsia ili kupanua wigo wa fursa za usawa kiuchumi kwa wanawake.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Minister of Health Zanzibar, Mahmoud Kombo(Left)  receiving  TAMWA  at 30 book and khanga on this week of

International Women's Day Week in Zanzibar from, one of the founder members of TAMWA and editor of the said book Miss Fatma Alloo.

 

Latest News and Stories

Search