News/Stories

MAFANIKIO YA TAMWA MACHI 2024 KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive
 
  1. Tuliweza kufanya mahojiano na Mwanaharakati, Waziri na Balozi wa zamani, Mama Getrude Mongela: Finya hapa kupata zaidi: https://www.instagram.com/p/C4DCBDJNGr4/
  1. Tuliweza kufanya mahojiano na Mkurugenzi wa TAMWA, Dk Rose Reuben: Finya hapa kusikiliza zaidi: https://www.instagram.com/p/C4M_5NHtZO3/
  1. Tuliweza kufanya mahoajino na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Ana Makakala: Kusikiliza zaidi. Finya hapa: https://www.instagram.com/p/C5IOVDJNSnh/
  1. Tuliweza kufanya mahoajino na Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Doroth Semu: Kusikiliza zaidi finya hapa: https://www.instagram.com/p/C4qSGabtrrZ/
  1. Tulikuwa na Makala fupi ya video ya Dereva wa Bodaboda Singida, Marry Kalambwa” Finya hapa kumfahamu: https://www.instagram.com/p/C4ulIZvNZpF/
  1. Tulikuwa na Makala fupi ya video ya Semeni Kalori: Semeni: Mama wa watoto watano, anayeendesha bodaboda, kusomba mkaa milimani. Finya hapa kumjua zaidi: https://www.instagram.com/p/C4hyRrmtevi/
  1. Tulikuwa na Makala fupi ya video ya Paulina Mathayo, anayeponda kokoto, huko Dodoma; Finya hapa kumfahamu: https://www.instagram.com/p/C5ILJSSthYu/

Tembelea mitandao yetu:

       1.Twitter: https://twitter.com/TAMWA_ 

  1. Instagram: https://www.instagram.com/tamwa_/
  2. Facebook: https://www.facebook.com/media.womenassociation

       4. TAMWA TV: //www.youtube.com/@tamwaonlinetv7655 

Latest News and Stories

Search