News/Stories

TANGAZO LA MKUTANO MKUU WA TAMWA 2022 (TAMWA AGM 2022)

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive
 

Sekretarieti ya Chama cha Wanahabri Wanawake Tanzania – TAMWA, inapenda kuwakumbusha wanachama wake kuwa mkutano mkuu wa Chama kwa mwaka 2022, utahusisha uchaguzi wa wajumbe wa Bodi, hivyo tunawahimiza wanachama wanaowiwa kuwania nafasi hizo kutuma maombi yao mapema kupitia barua pepe This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. Cc: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Fomu za maombi zinapatikana katika tovuti ya Chama www.tamwa.org

Mwisho wa kutuma maombi ni Machi 11, 2022.

Kelvin Mtewele - Afisa Utawala, TAMWA.

Latest News and Stories

Search