News/Stories

Joyce Shebe Aaga Uenyekiti Kwa Fahari na Mafanikio!

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive
 

Baada ya miaka 6 ya mafanikio makubwa, Joyce Shebe anamaliza muda wake kama Mwenyekiti wa bodi ya TAMWA.

Amewaachia wanachama kumbukumbu ya #TuzozaSamia Kalamu, maadhimisho ya miaka 36 ya TAMWA, na uwekezaji imara wa taasisi.
Asante kwa uongozi uliotukuka! 

#TAMWAAGM #TAMWA #JoyceShebe #WanawakeViongozi #MafanikioYaUongozi #TuzoZaSamiaKalamu

Latest News and Stories

Search