Baada ya miaka 6 ya mafanikio makubwa, Joyce Shebe anamaliza muda wake kama Mwenyekiti wa bodi ya TAMWA.
Amewaachia wanachama kumbukumbu ya #TuzozaSamia Kalamu, maadhimisho ya miaka 36 ya TAMWA, na uwekezaji imara wa taasisi.
Asante kwa uongozi uliotukuka!
#TAMWAAGM #TAMWA #JoyceShebe #WanawakeViongozi #MafanikioYaUongozi #TuzoZaSamiaKalamu