News/Stories

Karibu Dk. Kaanaeli Kaale – Nahodha Mpya wa Bodi ya TAMWA!

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive
 

Dk. Kaanaeli Kaale ameanza rasmi safari ya kuongoza Bodi ya TAMWA kwa miaka mitatu baada ya kuchaguliwa na wanachama wa TAMWA katika Mkutano Mkuu uliofanyika jijini Dsm tarehe 28 June 2025 .

Dk. Kaale ameahidi kuendeleza mafanikio ya waliotangulia na kuhimiza matumizi ya TEHAMA, usawa wa kijinsia na uandishi wa haki kipindi hiki cha uchaguzi. 

#TAMWAAGM2025 #TAMWA #WanawakeViongozi #UsawaWaKijinsia #HabariNaTEHAMA

Latest News and Stories

Search