Dk. Kaanaeli Kaale ameanza rasmi safari ya kuongoza Bodi ya TAMWA kwa miaka mitatu baada ya kuchaguliwa na wanachama wa TAMWA katika Mkutano Mkuu uliofanyika jijini Dsm tarehe 28 June 2025 .
Dk. Kaale ameahidi kuendeleza mafanikio ya waliotangulia na kuhimiza matumizi ya TEHAMA, usawa wa kijinsia na uandishi wa haki kipindi hiki cha uchaguzi.
#TAMWAAGM2025 #TAMWA #WanawakeViongozi #UsawaWaKijinsia #HabariNaTEHAMA