News/Stories

TAMWA YAWAPONGEZA WANAWAKE WALIOJITOKEZA KUWANIA UONGOZI UCHAGUZI WA OKTOBA 29

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive
 

Dar es Salaam, Septemba 10, 2025.Chama cha WanahabariWanawake Tanzania (TAMWA) kinatoapongezizadhatikwawanawakewotewaliojitokezakuwanianafasizauongozikuanziangaziyaudiwaniubungehadiuraiskatikamchakatowa uchaguzimkuu wa Oktoba 29, 2025.

Mchakatowauteuzinauchukuajifomuumeonyeshaarinamwamkomkubwa wa wanawakekushirikikwenyenafasimbalimbalizauongozinchiniKwamujibuwatakwimuzaUlingoWanawakejumlayawanawake 231 walichukuafomuzaubungekupitia CCM, nakatiyao 25 waliteuliwanachamananewakiwaniwapyaAidhamwakahuuvyamavingivyasiasavimeongezaidadiyawanawakewagombeawenzakatikanafasiyauraisnamakamu wa Rais.

Kwanamnayakipekee, TAMWA inampapongezizapekeeMheshimiwaSamiaSuluhu Hassan, aliyeteuliwana CCM kuwamgombea wa kwanza mwanamke wa uraiskatikahistoriayachamatawala.Hiinihatuakubwanayakihistoriainayoashiriamapinduzinamwelekeompya wa ushiriki wa wanawakekatikauongozi wa juunchini

PiatunawatambuawanawakewenginewalioteuliwakugombeauraispamojanawagombeawenzaakiwamoMwajumaNotyMiramboaliyechukuafomuyakuwaniauraiskupitia Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), akiwanamgombeamwenzaMashavuAlawiHaji.Wagombeawenza w niEvelineWilbardMunis- NCCR, Husna Mohamed Abdallah-CUF, Aziza Haji Selemani-MAKINI, Amani Selemani Mzee-TLP, ChausikuKhatibu Mohamed-NLD, Sakia Mussa Debwa-SAU,  ChumaJumaAbdallahnaDevothaMinja- CHAUMA. 

TAMWA inatambuanakuthaminiujasirinakujitumakwawanawakewotewaliojitokeza au kujaribukugombeanafasihizilichayachangamotombalimbalizinazowakabili.

Kwamudamrefu, TAMWA imekuwamstariwambelekuhamasishaushiriki wa wanawakekatikasiasanauongozikupitiawarshamakongamanomijadalanavyombovyahabariilikuondoavikwazovinavyowakabiliwanawakeMafanikiohayanihatuamuhimukuelekealengo la kuonawanawakewakiongozakatikangazizamaamuzinakuchocheausawa wa kijinsia.

RipotiyaOfisiya Taifa yaTakwimu (NBS) inaoneshakuwahadiFebruari 2024, wanawakewalikuwaasilimia 37.4 yawabunge (148 katiya 392), wengiwaowakiwakupitiavitimaalum.RipotizaAprilinaJulai 2024 zinaonyeshaasilimia37.5 yamawaziriniwanawake.

Lichayamafanikiohayabadojamiiinakabiliwanachangamotozinazotokanana  mfumodumenaudhalilishaji wa wanawakehasakwenyemitandaoyakijamii. TAMWA inaendeleakutoaelimukupitiavyombovyahabarikuhakikishawanawakewanasiasawanashirikikampenikatikamazingirarafikiyenyeusawanausalamakamailivyo wa wagombeawanaumebilakubaguliwakwamisingiyajinsia.

Uwepowawanawakekwenyeuongozinimuhimukwamaendeleoyataifakwanihuletausawa wa kijinsiakatikajamiiuwajibikajinakulindamaslahiyamakundiyotehususanwanawakenawatotoKukosekanakwawanawakekatikanafasizajuukunadhoofishautekelezaji wa sheriana sera zakulindahakizawanawakenawatotoikiwemokupambananaukatili wa kijinsiandoanamimbazautotoniukeketajinaudhalilishaji wa kijinsianamakundiyawatuwenyemahitajimaalum.

TAMWA inasisitizaniwajibu wa jamiivyamavyasiasaserikalinawadau wa maendeleokuhakikishawanawakewanapatanafasisawakwenyesiasanauongoziilikujengataifalenyeusawa wa kijinsiaamaninamaendeleoendelevu.

Kadhalikatunatoawitowakampenisafinajumuishizenyestahazinazolengakujengaustawinautu wa jamiibadalayasiasazamatusinakejeliTamwainafuatilia  kampenikatikangazizotenahaitasitakuripotimgombeayeyote au kundiambalolitakiuka  kanunizauchaguziilisheriaichukuemkondowake.

Dkt. Rose Reuben

Mkurugenzi  Mtendaji.

Latest News and Stories

Search