Gallery

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Chama cha Wanahabari Wanawake nchini – TAMWA kinaungana na mashirika mengine yanayopinga vitendo vya ukatili wa kijinsia na kutetea haki za binadamu leo tarehe 6 Februari, 2018,  kuadhimisha siku ya Kimataifa ya kupinga ukeketaji duniani.

 Maadhimisho haya yanaenda sambamba na kauli mbiu ya “Kufanya kazi pamoja kuongeza nguvu ya kumaliza Ukeketaji katika Kizazi Kipya” ambayo inaitaka jamii kushirikiana pamoja kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto ukiwemo ukeketaji.

Search