Gallery

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Mtandao wa wadau kutoka Asasi za kiraia  unaotetea marekebisho ya sheria na sera ihusuyo usalama barabarani Tanzaniatunapenda kumpongeza  na kumuunga mkono Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr John Pombe Magufuli kwa kuguswa na kutoa maagizo kunapo kuwa na matukio ya ajali za barabarani yanayotokea nchini ambayo yamekuwa na athari nyingi  kiuchumi na kijamii.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive
Mwandishi Wetu, Tamwa.
Kisarawe. Wadau wa maendeleo na ustawi wa jamii Wilaya ya Kisarawe wametaja  moja ya sababu zinazochangia ubakaji na ndoa za utotoni wilaya ya Kisarawe kuwa ni madereva bodaboda.
Wakizungumza leo Septemba 18 katika warsha ya wadau wa kutokomeza ukatili wa kijinsia dhidi ya Wanawake na watoto iliyofanyika wilayani humo wadau hao wamesema umbali wa shule unasababisha wanafunzi walaghaiwe na madereva bodaboda na kuishia kupata mimba au kubakwa.
Akizungumza katika warsha hiyo iliyoandaliwa na Chama Cha Wanahabari Wanawake(Tamwa) Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo amesema ushirikiano wa wadau ni muhimu katika kumaliza ukatili huo.
"Ndiyo maana tumefurahi kwa Tamwa kuja hapa kwa sababu wanalifahamu tatizo hili kwa upana. Lakini pia tumeiwata wazee maarufu na viongozi wa dini na maofisa ustawi wa jamii pamoja na wanasheria. Nia yetu tupate suluhisho la tatizo hilo,"amesema. 
Amesema kesi nyingi hazifiki mwisho kwa sababu ya kukosekana kwa ushirikiano wa wanafamilia pindi kesi zinapofika mahakamani. 
Mkurugenzi was Tamwa, Eda Sanga amesema unyanyasaji wa  watoto unaleta simanzi na ndiyo maana chama hicho kinapaza sauti na kusema imetosha Sasa.
"Kwa kauli moja tunasema huu unyanyasaji,ukatili, utovu wa nidhamu , visasi, uonevu , dhuluma na ukiukwaji wa  haki za mtoto kiujumla utokomezwe na utokomee,"amesema. 
Tamwa inatekeleza mradi unaowezesha Wanawake na kujenga usawa wa kijinsia katika Wilaya saba Tanzania bara.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

July 08,2014

Mariam Hamdani and Valerie Msoka are two veteran TAMWANITES who have this year made their mark in Tanzania’s media literary scene.

In a book titled ‘A history of Zanzibar Media – Traditions and Transitions’ Mariam Hamdani and co-authors Ali Rashid and Fatma S. Amour, chronicle the history of media and mass communication development in Zanzibar from time immemorial to-date.

For more information download it.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Chama cha Wanahabari Wanawake nchini –TAMWA kimestushwa na kinalaani vikali tukio la mauaji yaliyofanywa na Bw. Respicius Diocless, baba mzazi wa watoto Deonidas Respicus (4) na Deocless Respicius (4) mapacha katika kijiji cha Bulambizi kata ya Kanyangereko halmashauri ya wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

It has been known that the status of road crashes including death and injuries along the road has been reduced due to the efforts done by the Civil Society Organisations (CSOs) together with the government official through campaigns and awareness on Road Safety.

This was raised by the Senior Assistant Commander of Police, Commender of Traffic Police Fortunatus Muslimu during the inauguration of the two days CSOs seminar held at Dodoma Region and organized by the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children (MoHCDGEC).

Search