Gallery

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

 

 

 

 

The 5 Biggest Mistakes People Make In Job Interviews - And May Can Prevent Them!

 

 

 

Magnetic gifts are great choice little kids. Children can spend hours playing with magnetic games and other gifts you just can easily make your true self. Purchase a roll of magnetic sheeting at an art store and you'll have enough magnet in order to create several nice gifts for your kids or kids with regards to your Christmas email list. The sheeting costs about ten dollars a roll but you'll be able to make many gifts with one roll.

 

 

 

Research each country prior to going. This doesn't have end up being extensive, college paper type research, but enough so that you will never be shell-shocked upon child. Central America has very different rules when we try discussing social reaction.

 

 

 

Start a neighborhood block group or individual. For all of you social butterflies, it doesn't take lots of money to keep a associated with fun! Call your neighbors out for a Friday evening block party. Meet in the cul de sac, bring whatever leftovers possess to in your fridge to share, and let kids play, in terms of adults interact socially!

 

 

 

Each year, the Thanksgiving book equates. This little book is small enough to together with us wherever Thanksgiving normally requires us. Each year, everyone who is with us records what they are thankful for that year. It can be emotional rollercoaster rereading this book. Boasts of entries from thankful to experience survived cancer, to possessing gone into labor in meal, a few favorite doll. We enhance our book with pictures from that year before it comes out the following year.

 

 

 

There are problems that could and have happened with public housing in nation. I will mention first that a couple of good decent people living in public housing, but there are also some people that are not model citizens either. I'm basing this upon a few things i have personally seen mainly because the school district attended had the largest housing project bused to barefoot jogging while I have been in faculty.

 

 

 

I listen to it all the time, "I refuse to obtain the flu custom paper https://collegepaperservices.com/pay-someone-to-write-a-paper/ custom paper bags shot because every time I get it, I receive the flu virus." You CANNOT get influenza (influenza) away from the shot. The vaccine is a killed virus. you are not being encountered with a live virus and also that cannot contract it to the injection. Couple of different methods side effects, however. Although I'm not for the vaccine, I attempt to help people realize that it isn't reason to refuse the vaccine.

 

 

 

Many companies are insured against compensation claims claims. An individual are happen to hurt yourself at work, you'll need need to engage a accidental injury lawyer the minute possible. Need to place function calls you, you get them converse with your lawyer or attorney. Your attorney will keep good records of anything that comes up pertaining for your injury or case.

 

 

 

Here's a confidence booster: take a holiday to a bookstore and library. Peruse the titles, covers, and topics tend to be selling at the bookstore to check out what the libraries are purchasing. You will be in for any pleasant surprise. Some of these titles, covers, and topics can make you wonder how in the field of they got through the publishing standards and are out there for sale or for checkout at the libraries. On some of those I guarantee you will say, oh I has the potential that. Its fun try out because provides you the confidence any time they could possibly get away with publishing a book where category, with that cover that type of writing, your chances of getting published go down.

 

 

 

Photo gallery - The photo application can be used to shoot, view and manage snaps within a well mannered way. Software has tools to make slideshows, view photos and share photo stream. The tool help to make it slide show can help combining favourite shots with both favourite music and creating an attractive slide illustrate. Watch the slide show on your iPad or on your HDTV.

 

 

 

If you need ways to make money online with investment, back link building as well as file sharing additionally good programs. For example, you would need to share files to to the site of buyers in file-sharing. On one other hand, you'll have to make write ups and then link the criminals to the website of your client, in the matter of link creating / developing. Most of the time, the hours that own spent could be basis for that amount you get.

 

 

 

The above three your best numerous. The plus reason them constantly they basic to and that can it exclusively on your own. You will not need any help from others. Practice these for sometime and grow into perfect. Perform then learn several various methods of bookbinding.

 

 

 

 

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Ofisa Maendeleo Wilaya ya Ruangwa, Rashid Namkulala amekemea vikali Mila na desturi zinazochochea ukatili wa wanawake na watoto wilayani humo. Ameyasema hayo juzi wakati wa mdahalo kwa wanafunzi wa shule ya Sekondari Nambilanje na ya Msingi Nambilanje. Chama Cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) kimesimamia mafunzo kwa kamati ya ulinzi na usalama ya Kijiji cha Nambilanje na midahalo na majadiliano kwa shule za Msingi na Sekondari kuhusu Mila na desturi zinazochochea mimba za utotoni wilayani humo.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Dar es Salaam, Septemba 10, 2025.Chama cha WanahabariWanawake Tanzania (TAMWA) kinatoapongezizadhatikwawanawakewotewaliojitokezakuwanianafasizauongozikuanziangaziyaudiwaniubungehadiuraiskatikamchakatowa uchaguzimkuu wa Oktoba 29, 2025.

Mchakatowauteuzinauchukuajifomuumeonyeshaarinamwamkomkubwa wa wanawakekushirikikwenyenafasimbalimbalizauongozinchiniKwamujibuwatakwimuzaUlingoWanawakejumlayawanawake 231 walichukuafomuzaubungekupitia CCM, nakatiyao 25 waliteuliwanachamananewakiwaniwapyaAidhamwakahuuvyamavingivyasiasavimeongezaidadiyawanawakewagombeawenzakatikanafasiyauraisnamakamu wa Rais.

Kwanamnayakipekee, TAMWA inampapongezizapekeeMheshimiwaSamiaSuluhu Hassan, aliyeteuliwana CCM kuwamgombea wa kwanza mwanamke wa uraiskatikahistoriayachamatawala.Hiinihatuakubwanayakihistoriainayoashiriamapinduzinamwelekeompya wa ushiriki wa wanawakekatikauongozi wa juunchini

PiatunawatambuawanawakewenginewalioteuliwakugombeauraispamojanawagombeawenzaakiwamoMwajumaNotyMiramboaliyechukuafomuyakuwaniauraiskupitia Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), akiwanamgombeamwenzaMashavuAlawiHaji.Wagombeawenza w niEvelineWilbardMunis- NCCR, Husna Mohamed Abdallah-CUF, Aziza Haji Selemani-MAKINI, Amani Selemani Mzee-TLP, ChausikuKhatibu Mohamed-NLD, Sakia Mussa Debwa-SAU,  ChumaJumaAbdallahnaDevothaMinja- CHAUMA. 

TAMWA inatambuanakuthaminiujasirinakujitumakwawanawakewotewaliojitokeza au kujaribukugombeanafasihizilichayachangamotombalimbalizinazowakabili.

Kwamudamrefu, TAMWA imekuwamstariwambelekuhamasishaushiriki wa wanawakekatikasiasanauongozikupitiawarshamakongamanomijadalanavyombovyahabariilikuondoavikwazovinavyowakabiliwanawakeMafanikiohayanihatuamuhimukuelekealengo la kuonawanawakewakiongozakatikangazizamaamuzinakuchocheausawa wa kijinsia.

RipotiyaOfisiya Taifa yaTakwimu (NBS) inaoneshakuwahadiFebruari 2024, wanawakewalikuwaasilimia 37.4 yawabunge (148 katiya 392), wengiwaowakiwakupitiavitimaalum.RipotizaAprilinaJulai 2024 zinaonyeshaasilimia37.5 yamawaziriniwanawake.

Lichayamafanikiohayabadojamiiinakabiliwanachangamotozinazotokanana  mfumodumenaudhalilishaji wa wanawakehasakwenyemitandaoyakijamii. TAMWA inaendeleakutoaelimukupitiavyombovyahabarikuhakikishawanawakewanasiasawanashirikikampenikatikamazingirarafikiyenyeusawanausalamakamailivyo wa wagombeawanaumebilakubaguliwakwamisingiyajinsia.

Uwepowawanawakekwenyeuongozinimuhimukwamaendeleoyataifakwanihuletausawa wa kijinsiakatikajamiiuwajibikajinakulindamaslahiyamakundiyotehususanwanawakenawatotoKukosekanakwawanawakekatikanafasizajuukunadhoofishautekelezaji wa sheriana sera zakulindahakizawanawakenawatotoikiwemokupambananaukatili wa kijinsiandoanamimbazautotoniukeketajinaudhalilishaji wa kijinsianamakundiyawatuwenyemahitajimaalum.

TAMWA inasisitizaniwajibu wa jamiivyamavyasiasaserikalinawadau wa maendeleokuhakikishawanawakewanapatanafasisawakwenyesiasanauongoziilikujengataifalenyeusawa wa kijinsiaamaninamaendeleoendelevu.

Kadhalikatunatoawitowakampenisafinajumuishizenyestahazinazolengakujengaustawinautu wa jamiibadalayasiasazamatusinakejeliTamwainafuatilia  kampenikatikangazizotenahaitasitakuripotimgombeayeyote au kundiambalolitakiuka  kanunizauchaguziilisheriaichukuemkondowake.

Dkt. Rose Reuben

Mkurugenzi  Mtendaji.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

February 19,2014

 

Board Member of the Tanzania Media Women’s Association (TAMWA) Gladness Hemed Munuo launching a Gender Based Violence survey report which was conducted in December 2013 in 20 districts of Tanzania Mainland and Zanzibar today at the association’s office in Sinza Mori, Dar es Salaam.

The Tanzania Media Women’s Association (TAMWA) today February 19,2014, released a Gender Based Violence survey report which was conducted last year in twenty districts of Mainland Tanzania and Zanzibar. The report was unveiled to journalist by the association’s board member Gladness Hemedi Munuo today at Sinza – Mori.

The survey is a result of training conducted with the support from UNFPA in which 30 journalists from across the country were sent to the regions to conduct survey.

The report highlights the real situation of GBV in the surveyed areas and factors limiting stakeholders’ efforts to defending women and children rights in the country.

In Tanzania Mainland, the survey was carried out in the following districts and respective regions in brackets; Kahama (Shinyanga), Tarime (Mara), Sengerema (Mwanza), Newala (Mtwara), Mbulu (Manyara), Singida Rural (Singida), Bariadi (Simiyu), Busega (Simiyu), Nkasi (Rukwa), Dodoma (Dodoma), Babati (Manyara), Chunya (Mbeya) and Bunda (Mara) while in Zanzibar, the survey was conducted in six districts from regions of Mjini Magharibi, Kusini Pemba, Kaskazini Pemba, Unguja Kusini and Kaskazini Unguja.

 

For information  Download the report in English version here and Swahili version here

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

TAMKO LA ASASI ZA WANAWAKE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Dar –Es- Salaam, Oktoba 23, 2025.
Wakati Watanzania wakielekea katika tukio la kikatiba la kupiga kura mnamo Oktoba 29, muunganiko wa asasi za kiraia zinazotetea makundi maalum ikiwamo wanawake, watoto na vijana wanawake, tumeungana kwa pamoja kuhimiza umma kuhusu ajenda muhimu ya ushiriki wa wanawake katika siasa na uongozi sambamba na kuhimiza ushiriki wa wanawake katika upigaji kura siku ya Oktoba 29 mwaka huu.

Ushiriki wa wanawake katika siasa na uongozi ni miongoni mwa vipaumbele vya asasi za kiraia zenye mrengo wa jinsia. Kwa sababu tunaamini wakiwapo viongozi wanawake, kutakuwa na hatua mahsusi katika kuongeza kipato na maendeleo ya mwanamke.

Hivyo basi sisi muunganiko wa asasi za kiraia, tunawahakikishia kuwa tunakwenda kutimiza wajibu wetu wa kikatiba wa kupiga kura na kadhalika tunahimiza wanawake kwenda kushiriki katika mchakato wa kikatiba wa kupiga kura, ili tunapokwenda kuwachagua viongozi wetu, basi tuwatwike mzigo wa mambo ya msingi yanayowahusu wanawake .

Viongozi hawa tutakaowachagua, tunaamini kuwa baada ya mchakato huo, tutawatwika madai yetu ya kimaendeleo yanayowahusu wanawake, watoto, wanawake vijana na watu wenye ulemavu na ajenda nyinginezo za mrengo wa jinsia.

Tanzania ni miongoni mwa nchi chache za Afrika ambazo zimepiga hatua katika ajenda ya ushiriki wa wanawake katika siasa na uongozi. Kwa mara ya kwanza Tanzania imepata kiongozi mkuu wa nchi mwanamke, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, ambaye pia anawania kiti hicho cha urais kwa tiketi ya CCM.

Kadhalika, mwaka huu kumekuwa na wagombea wengine wanawake wa urais, akiwemo Saumu Rashid kutoka UDP na Mwajuma Mirambo –UMD.

Kwa upande wa wagombea wenza wa urais kutoka vyama vingine ni pamoja na Eveline Wilbard Munis (NCCR), Husna Mohamed Abdallah (CUF), Aziza Haji Selemani (D. MAKINI), Amani Selemani Mzee (TLP), Chausiku Khatibu Mohamed (NLD), Sakia Mussa Debwa (SAU), Chuma Juma Abdallah na Devotha Minja (CHAUMA).

Hii ni hatua kubwa ya kidemokrasia kwa Tanzania na kwa ajenda ya ushiriki wa wanawake katika siasa na uongozi.

Tunapokaribia uchaguzi mkuu, tunapenda kuwakumbusha Watanzania kuwa mwanamke kiongozi anaposhika madaraka asihukumiwe kwa jinsia yake, bali kwa uwezo, uzoefu na dira yake ya maendeleo.

Ikumbukwe kuwa uongozi wa mwanamke si tishio bali ni nyenzo ya kuimarisha demokrasia jumuishi, yenye kusikiliza na kutenda kwa manufaa ya wote.

Tunapenda kuikumbusha jamii kuwa katika kipindi hiki cha kampeni na uchaguzi, ni muhimu kuepuka lugha za kejeli, udhalilishaji na mashambulizi ya kibinafsi — hasa kwa misingi ya kijinsia. Badala yake, mjadala wa kisiasa ujikite katika sera, ilani, na hoja zenye kujenga taifa.

Wanawake wanaowania nafasi kuanzia ngazi ya udiwani hadi urais, wasibezwe, wasitukanwe, na tunakemea vikali lugha dhalili zinazotweza utu kwa wanawake wanasiasa na viongozi wengine wanawake.

Bado tunaamini kuwa kwa kumpata Rais mwanamke Tanzania imepiga hatua kubwa kupitia yeye katika kutekeleza Dira ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa (SDG 5) inayosisitiza usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake katika maamuzi.

Kupitia Rais huyu mwanamke tumeona sheria kadhaa zikibadilishwa ikiwamo ya vyama vya siasa na hata miradi mikubwa ya maendeleo ikiwamo ya afya.

Asasi za kiraia zinasimama imara katika kuhakikisha kuwa mafanikio haya yanaendelezwa, si kwa maneno tu bali kwa vitendo.

Ushiriki wa wanawake katika siasa unaongeza uwajibikaji, uwazi, na ustawi wa kijamii, kwa kuwa tafiti nyingi zinaonesha kwamba wanawake viongozi wanapendelea sera zinazogusa elimu, afya, haki za watoto, na usawa wa kiuchumi. Kama zipo changamoto kupitia uongozi wake basi si muda wa kumkashifu kwa kupitia jinsia yake.

Tunapenda pia kuikumbusha Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), vyama vya siasa, na wadau wote kuhakikisha mazingira ya uchaguzi yanakuwa salama, jumuishi, na huru dhidi ya vitisho, udhalilishaji, na ukatili wa kijinsia, ambao mara nyingi huwakatisha tamaa wanawake kushiriki kikamilifu katika siasa.

Tunatoa wito kwa vyombo vya habari kuendelea kutoa nafasi sawa kwa wagombea wanawake kuratibu midahalo, makala, na mijadala inayojenga uelewa wa umma juu ya uwezo na mchango wa wanawake katika maendeleo ya taifa.

Kwa muktadha huu, tunasema: “Uongozi bora hauna jinsia — una maadili, dira, na dhamira ya dhati ya kuwatumikia wananchi.”

Tunaamini kuwa taifa lenye usawa wa kijinsia katika uongozi ni taifa lenye amani, ustawi, na maendeleo endelevu.Tanzania ni yetu sote — wanawake na wanaume wanapaswa kushiriki kwa usawa katika kuijenga.

Imetolewa na:
Muunganiko wa Asasi za Wanawake na Watetezi wa Usawa wa Kijinsia – Tanzania

(Oktoba 23, 2025 – Dar es Salaam)

  1. Ulingo Wanawake

  2. Women Walfare Tanzania

  3. TAMWA

  4. Binti Makini-

  5. WAJIKI-

  6. WILDAF-

  7. WFT-

  8. Young and Alive

  9. Generation Act

  10. TAWIA

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kinampongeza  Rais John Magufuli kwa kuzungumza kwa uwazi na kukemea  suala  la ongezeko la mimba kwa wanafunzi mkoani Rukwa.

Rais Magufuli ambaye yupo ziarani mkoani Rukwa amesema kwa takwimu alizonazo, kulikuwa na wanafunzi 229 waliopata mimba mkoani humo mwaka jana pekee.

Search