Gallery

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Ofisa Maendeleo Wilaya ya Ruangwa, Rashid Namkulala amekemea vikali Mila na desturi zinazochochea ukatili wa wanawake na watoto wilayani humo. Ameyasema hayo juzi wakati wa mdahalo kwa wanafunzi wa shule ya Sekondari Nambilanje na ya Msingi Nambilanje. Chama Cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) kimesimamia mafunzo kwa kamati ya ulinzi na usalama ya Kijiji cha Nambilanje na midahalo na majadiliano kwa shule za Msingi na Sekondari kuhusu Mila na desturi zinazochochea mimba za utotoni wilayani humo.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

TAMWA has conducted a 2 days training of Journalists on Road safety issues. Aim of this training is to engage journalists to build a network and their understanding of the road safety crisis (Including Risk Factors) also to increase frequency of quality and accurate reporting on road safety issues to the public.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Mtandao wa wadau kutoka Asasi za kiraia  unaotetea marekebisho ya sheria na sera ihusuyo usalama barabarani Tanzaniatunapenda kumpongeza  na kumuunga mkono Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr John Pombe Magufuli kwa kuguswa na kutoa maagizo kunapo kuwa na matukio ya ajali za barabarani yanayotokea nchini ambayo yamekuwa na athari nyingi  kiuchumi na kijamii.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kinampongeza  Rais John Magufuli kwa kuzungumza kwa uwazi na kukemea  suala  la ongezeko la mimba kwa wanafunzi mkoani Rukwa.

Rais Magufuli ambaye yupo ziarani mkoani Rukwa amesema kwa takwimu alizonazo, kulikuwa na wanafunzi 229 waliopata mimba mkoani humo mwaka jana pekee.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Chama cha Wanahabari Wanawake nchini –TAMWA kimestushwa na kinalaani vikali tukio la mauaji yaliyofanywa na Bw. Respicius Diocless, baba mzazi wa watoto Deonidas Respicus (4) na Deocless Respicius (4) mapacha katika kijiji cha Bulambizi kata ya Kanyangereko halmashauri ya wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

February 19,2014

 

Board Member of the Tanzania Media Women’s Association (TAMWA) Gladness Hemed Munuo launching a Gender Based Violence survey report which was conducted in December 2013 in 20 districts of Tanzania Mainland and Zanzibar today at the association’s office in Sinza Mori, Dar es Salaam.

The Tanzania Media Women’s Association (TAMWA) today February 19,2014, released a Gender Based Violence survey report which was conducted last year in twenty districts of Mainland Tanzania and Zanzibar. The report was unveiled to journalist by the association’s board member Gladness Hemedi Munuo today at Sinza – Mori.

The survey is a result of training conducted with the support from UNFPA in which 30 journalists from across the country were sent to the regions to conduct survey.

The report highlights the real situation of GBV in the surveyed areas and factors limiting stakeholders’ efforts to defending women and children rights in the country.

In Tanzania Mainland, the survey was carried out in the following districts and respective regions in brackets; Kahama (Shinyanga), Tarime (Mara), Sengerema (Mwanza), Newala (Mtwara), Mbulu (Manyara), Singida Rural (Singida), Bariadi (Simiyu), Busega (Simiyu), Nkasi (Rukwa), Dodoma (Dodoma), Babati (Manyara), Chunya (Mbeya) and Bunda (Mara) while in Zanzibar, the survey was conducted in six districts from regions of Mjini Magharibi, Kusini Pemba, Kaskazini Pemba, Unguja Kusini and Kaskazini Unguja.

 

For information  Download the report in English version here and Swahili version here

Search