- TAMWA
- Hits: 425
Child Marriage | Ndoa za Utotoni




Chama cha Wanahabari Wanawake –TAMWA, kinaungana na mashirika mengine yanayopinga ukatili wa kijinsia na kutetea haki za binadamu kote nchini kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika ambayo huadhimishwa tarehe 16 Juni kila mwaka.
Maadhimisho hayo ambayo yatafanyika wilayani Ilala Kata ya kivule leo tarehe 14 Juni, 2018 kuanzia saa tatu Asubuhi hadi saa tano katika viwanja vya stendi ya Mbondole, Mgeni rasmi ni Mkuu wa Wilaya hiyo Mh. Sophia Mjema ambapo kauli mbiu mwaka huu ni “Kuelekea Uchumi wa Viwanda, Tusimwache Mtoto Nyuma’’ inamlenga kila mzazi, mlezi, ndugu, jamaa, jirani na rafiki kumpenda mtoto kwa namna yoyote ile, kuhakikisha anatunzwa vizuri na haki zake zinalindwa ipasavyo ili atimize ndoto zake.
TERMS OF REFERENCE (ToR)
Consultancy to develop gender mainstreaming methodology guidelinesfor the Tanzanian Media Sector.
1. Background
Tanzania Media Women’s Association (TAMWA) has played a pivotal role in promoting gender equality and mainstreaming within the media landscape of Tanzania. From 2020 to 2023, TAMWA supported four media housesZanzibar Broadcasting Corporation (ZBC), Zanzibar Leo, Afya FM, and Dodoma Media Group (DMG)to strengthen gender-responsive practices, including the development and implementation of gender policies, documentation of sexual harassment cases, and establishment of functional gender desks.
In 2025, TAMWA conducted a follow-up with these media houses to evaluate the progress of the earlier interventions and assess the sustainability of gender mainstreaming efforts. Moreover, TAMWA engaged nine media houses out of the previous one for purpose of making comparison analysis of the state in terms of those supported and those have not been in the project to explore emerging and innovative best practices.
Building on the lessons learned, TAMWA now plans to refine and document its gender mainstreaming methodology,mapping best practices from various media houses and developingcomprehensive, context-specific guidelines to support media houses across Tanzania to adopt transformative and sustainable gender mainstreaming practices.These guidelineswill be shared and discussed with other media stakeholdersfor their validation and buy-in.
2. Purpose of the Assignment
The purpose of this consultancy is to review, refine, and document a gender mainstreaming methodology guideline document based on evidence gathered from past interventions, follow-up assessments, and comparison between TAMWA supported and othernon-supported media houses. The guideline should be practical, adaptable, and tailored to the Tanzanian media context.It is intended to address both internal operations and content creation within media houses, promoting equal representation and challenging harmful gender stereotypes.
3. Specific Objectives
4. Scope of Work
Under the overall guidance of TAMWA, the consultant will:
5.Key Deliverables and Duration – Summary
The consultancy will run over a period of four weeks and will produce the following key deliverables: an inception report outlining the methodology, tools, and workplan; a desk review summary and assessment tools with accompanying analysis; a dialogue session report; a draft gender mainstreaming methodology guideline; and a final, revised, and validated guideline.
6. Consultant Profile and Qualifications
7. Application Process
Interested individual consultants should submit the following:
Applications should be submitted no later than 07 September2025 to This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.with the subject line: Consultancy – Gender Mainstreaming Methodology Guideline.

Zaidi ya Wanachama 150 wa Chama cha Wanahabari Wanawake nchini- TAMWA, Jumamosi tarehe 14th April, 2018 wanafanya Mkutano Mkuu wa mwaka 2017 ambapo pamoja na mambo mengine, wanachama watapata fursa ya kutathmini kazi zilizofanyika mwaka 2017, na utekelezaji wa mpango mkakati wa 2018-2019.