Gallery

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive
Mwandishi Wetu, Tamwa.
Kisarawe. Wadau wa maendeleo na ustawi wa jamii Wilaya ya Kisarawe wametaja  moja ya sababu zinazochangia ubakaji na ndoa za utotoni wilaya ya Kisarawe kuwa ni madereva bodaboda.
Wakizungumza leo Septemba 18 katika warsha ya wadau wa kutokomeza ukatili wa kijinsia dhidi ya Wanawake na watoto iliyofanyika wilayani humo wadau hao wamesema umbali wa shule unasababisha wanafunzi walaghaiwe na madereva bodaboda na kuishia kupata mimba au kubakwa.
Akizungumza katika warsha hiyo iliyoandaliwa na Chama Cha Wanahabari Wanawake(Tamwa) Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo amesema ushirikiano wa wadau ni muhimu katika kumaliza ukatili huo.
"Ndiyo maana tumefurahi kwa Tamwa kuja hapa kwa sababu wanalifahamu tatizo hili kwa upana. Lakini pia tumeiwata wazee maarufu na viongozi wa dini na maofisa ustawi wa jamii pamoja na wanasheria. Nia yetu tupate suluhisho la tatizo hilo,"amesema. 
Amesema kesi nyingi hazifiki mwisho kwa sababu ya kukosekana kwa ushirikiano wa wanafamilia pindi kesi zinapofika mahakamani. 
Mkurugenzi was Tamwa, Eda Sanga amesema unyanyasaji wa  watoto unaleta simanzi na ndiyo maana chama hicho kinapaza sauti na kusema imetosha Sasa.
"Kwa kauli moja tunasema huu unyanyasaji,ukatili, utovu wa nidhamu , visasi, uonevu , dhuluma na ukiukwaji wa  haki za mtoto kiujumla utokomezwe na utokomee,"amesema. 
Tamwa inatekeleza mradi unaowezesha Wanawake na kujenga usawa wa kijinsia katika Wilaya saba Tanzania bara.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

November 30, 2014

School pregnancy or sometimes regarded as teenage pregnancy occur in girls who have not completed their primary or secondary school and have few or no remarkable skills, are financially dependent upon their parents and/or continues to live at home and are often immature. Teenage pregnancies remain a serious problem in Tanzania. It is estimated that at the age of seventeen or of eighteen 39%, of all females are either pregnant or already mothers

About one in 20 girls in Tanzania began child-bearing at the age of 15 years, and this rises sharply to one in four among 17 year olds. Girls in rural areas are almost twice as likely as girls in urban areas to start childbearing before they reach 19 years. More than half of girls with no education are mothers or pregnant before they reach 19 years, compared with about 25 per cent of those who completed primary school and less than five per cent of girls who attended secondary school. Open links below to read more..

 Swahili version!   English version!

 

July 23,2014

The newly released Fact sheet in this month, July 2014. Fact Sheet!

 Worldwide, it is estimated that 51 million girls younger than 18 are child brides. The majority of early marriages occur in West and East Africa and South Asia. Over the next decade, another 100 million girls will face early marriages.

Tanzania has one of the highest child marriage prevalence rates in the world. On average, almost two out of five girls will be married before their 18th birthday. In 2010, about 37% of the women aged 20-24 were married/in union before age 18. Data shows a 10% decline since 2004 (41%).

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

It has been known that the status of road crashes including death and injuries along the road has been reduced due to the efforts done by the Civil Society Organisations (CSOs) together with the government official through campaigns and awareness on Road Safety.

This was raised by the Senior Assistant Commander of Police, Commender of Traffic Police Fortunatus Muslimu during the inauguration of the two days CSOs seminar held at Dodoma Region and organized by the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children (MoHCDGEC).

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Mtandao wa wadau kutoka Asasi za kiraia  unaotetea marekebisho ya sheria na sera ihusuyo usalama barabarani Tanzaniatunapenda kumpongeza  na kumuunga mkono Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr John Pombe Magufuli kwa kuguswa na kutoa maagizo kunapo kuwa na matukio ya ajali za barabarani yanayotokea nchini ambayo yamekuwa na athari nyingi  kiuchumi na kijamii.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

CHAMA CHA WANAHABARI WANAWAKE TANZANIA TAMWA  kinawatangazia  wanachama  wake  kuwa  kutakuwa  na  Mkutano  Mkuu  wa  Wanachama (AGM)   utakaofanyika  Juni 13-14, 2025.

LENGO LA MKUTANO MKUU WA AGM NI:

• Uchaguzi wa wanachama  wapya  kwamujibu   wa Katiba ya Chama.
• Tathmini ya  mwenendowa chama – mafanikio, changamoto, namwelekeompya.
• Uwasilishajiwa  taarifa  ya  mapato  namatumizi  ya chama.
• Uwasilishaji  wa  taarifa za   utekelezaji  wamiradi  namustakabali  wa TAMWA.
• Fursaya   wanachamakutoa  maoni  namapendekezo  ya  kuimarisha  mchangowa TAMWA katikajamii.

Mkutano huu utafanyika tarehe 13-14 Juni, 2025

• Eneo: Ukumbi wa TAMWA, Sinza, Mori, Dar es Salaam
• Moduli: Kwa kufika ofisi za TAMWA na kwa njia ya Zoom 
• Muda: Saa 4 asubuhi

Wanachama  wote  mnahimizwa  kuhudhuria

Kwa maelezo  zaidi, tafadhaliwasiliananaTAMWA kupitia;

Barua pepeThis email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. Simu:0716622200

Search