Gallery

User Rating: 2 / 5

Star ActiveStar ActiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Chama cha Wanahabari Wanawake nchini – TAMWA leo, kinaungana na mashirika yote nchini yanayotetea haki za binadamu hasa wanawake na watoto ulimwenguni kusherekea siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa tarehe 8 mwezi Machi kila mwaka.

 Maadhimisho haya yanabeba kauli mbiu ya kitaifa inayosema  “Wakati ni sasa: Wanaharakati Mijini na Vijijini kubadilisha maisha ya wanawake”, ambayo inatutaka wote tushirikiane kikamilifu kubadilisha maisha ya wanawake kwa kuondokana na ukatili wa kijinsia ili kupanua wigo wa fursa za usawa kiuchumi kwa wanawake.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Dar es Salaam, Septemba 10, 2025.Chama cha WanahabariWanawake Tanzania (TAMWA) kinatoapongezizadhatikwawanawakewotewaliojitokezakuwanianafasizauongozikuanziangaziyaudiwaniubungehadiuraiskatikamchakatowa uchaguzimkuu wa Oktoba 29, 2025.

Mchakatowauteuzinauchukuajifomuumeonyeshaarinamwamkomkubwa wa wanawakekushirikikwenyenafasimbalimbalizauongozinchiniKwamujibuwatakwimuzaUlingoWanawakejumlayawanawake 231 walichukuafomuzaubungekupitia CCM, nakatiyao 25 waliteuliwanachamananewakiwaniwapyaAidhamwakahuuvyamavingivyasiasavimeongezaidadiyawanawakewagombeawenzakatikanafasiyauraisnamakamu wa Rais.

Kwanamnayakipekee, TAMWA inampapongezizapekeeMheshimiwaSamiaSuluhu Hassan, aliyeteuliwana CCM kuwamgombea wa kwanza mwanamke wa uraiskatikahistoriayachamatawala.Hiinihatuakubwanayakihistoriainayoashiriamapinduzinamwelekeompya wa ushiriki wa wanawakekatikauongozi wa juunchini

PiatunawatambuawanawakewenginewalioteuliwakugombeauraispamojanawagombeawenzaakiwamoMwajumaNotyMiramboaliyechukuafomuyakuwaniauraiskupitia Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), akiwanamgombeamwenzaMashavuAlawiHaji.Wagombeawenza w niEvelineWilbardMunis- NCCR, Husna Mohamed Abdallah-CUF, Aziza Haji Selemani-MAKINI, Amani Selemani Mzee-TLP, ChausikuKhatibu Mohamed-NLD, Sakia Mussa Debwa-SAU,  ChumaJumaAbdallahnaDevothaMinja- CHAUMA. 

TAMWA inatambuanakuthaminiujasirinakujitumakwawanawakewotewaliojitokeza au kujaribukugombeanafasihizilichayachangamotombalimbalizinazowakabili.

Kwamudamrefu, TAMWA imekuwamstariwambelekuhamasishaushiriki wa wanawakekatikasiasanauongozikupitiawarshamakongamanomijadalanavyombovyahabariilikuondoavikwazovinavyowakabiliwanawakeMafanikiohayanihatuamuhimukuelekealengo la kuonawanawakewakiongozakatikangazizamaamuzinakuchocheausawa wa kijinsia.

RipotiyaOfisiya Taifa yaTakwimu (NBS) inaoneshakuwahadiFebruari 2024, wanawakewalikuwaasilimia 37.4 yawabunge (148 katiya 392), wengiwaowakiwakupitiavitimaalum.RipotizaAprilinaJulai 2024 zinaonyeshaasilimia37.5 yamawaziriniwanawake.

Lichayamafanikiohayabadojamiiinakabiliwanachangamotozinazotokanana  mfumodumenaudhalilishaji wa wanawakehasakwenyemitandaoyakijamii. TAMWA inaendeleakutoaelimukupitiavyombovyahabarikuhakikishawanawakewanasiasawanashirikikampenikatikamazingirarafikiyenyeusawanausalamakamailivyo wa wagombeawanaumebilakubaguliwakwamisingiyajinsia.

Uwepowawanawakekwenyeuongozinimuhimukwamaendeleoyataifakwanihuletausawa wa kijinsiakatikajamiiuwajibikajinakulindamaslahiyamakundiyotehususanwanawakenawatotoKukosekanakwawanawakekatikanafasizajuukunadhoofishautekelezaji wa sheriana sera zakulindahakizawanawakenawatotoikiwemokupambananaukatili wa kijinsiandoanamimbazautotoniukeketajinaudhalilishaji wa kijinsianamakundiyawatuwenyemahitajimaalum.

TAMWA inasisitizaniwajibu wa jamiivyamavyasiasaserikalinawadau wa maendeleokuhakikishawanawakewanapatanafasisawakwenyesiasanauongoziilikujengataifalenyeusawa wa kijinsiaamaninamaendeleoendelevu.

Kadhalikatunatoawitowakampenisafinajumuishizenyestahazinazolengakujengaustawinautu wa jamiibadalayasiasazamatusinakejeliTamwainafuatilia  kampenikatikangazizotenahaitasitakuripotimgombeayeyote au kundiambalolitakiuka  kanunizauchaguziilisheriaichukuemkondowake.

Dkt. Rose Reuben

Mkurugenzi  Mtendaji.

Search