- TAMWA
- Hits: 491
Dk. Kaanaeli Kaale ameanza rasmi safari ya kuongoza Bodi ya TAMWA kwa miaka mitatu baada ya kuchaguliwa na wanachama wa TAMWA katika Mkutano Mkuu uliofanyika jijini Dsm tarehe 28 June 2025 .
Dk. Kaale ameahidi kuendeleza mafanikio ya waliotangulia na kuhimiza matumizi ya TEHAMA, usawa wa kijinsia na uandishi wa haki kipindi hiki cha uchaguzi.
#TAMWAAGM2025 #TAMWA #WanawakeViongozi #UsawaWaKijinsia #HabariNaTEHAMA
Tanzania Media Women Association's (TAMWA), has conducted one day Journalists refresher training session at TAMWA Hall located at Sinza Mori, Dar es salaam.
Today, 1st of March 2018, The Danish Embassy Review Team visited TAMWA Office located at Sinza Mori in Dar es Salaam for the purpose of having general discussion about the partnership and progress of Prevention of and Reduction of Gender Based Violence(PRGBV) that TAMWA is implementing.
Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania – TAMWA, kinampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dr John Pombe Magufuli kwa kuguswa na matukio ya ajali za barabarani ambazo zimekuwa zikiathiri hali ya kijamii na kiuchumi nchini.
Takwimi za shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha Tanzania inapoteza 3.4 ya hali ya uzalishaji (GDP) katika kugharamia masuala yoyote yanayotokana na ajali za barabarani yakiwemo matibabu na madhara mengine kama kupoteza maisha, majeraha makubwa, ulemavu wa kudumu, mali kuharibika pamoja na vifo vya wananchi.