Gallery

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), kimewakutanisha wafanyakazi wake wapatao 26 kutoka Zanzibar na Tanzania Bara kwa lengo la kujadili kwa pamoja mpango mkakati wa mwaka mpya wa 2018.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

November 30, 2014

School pregnancy or sometimes regarded as teenage pregnancy occur in girls who have not completed their primary or secondary school and have few or no remarkable skills, are financially dependent upon their parents and/or continues to live at home and are often immature. Teenage pregnancies remain a serious problem in Tanzania. It is estimated that at the age of seventeen or of eighteen 39%, of all females are either pregnant or already mothers

About one in 20 girls in Tanzania began child-bearing at the age of 15 years, and this rises sharply to one in four among 17 year olds. Girls in rural areas are almost twice as likely as girls in urban areas to start childbearing before they reach 19 years. More than half of girls with no education are mothers or pregnant before they reach 19 years, compared with about 25 per cent of those who completed primary school and less than five per cent of girls who attended secondary school. Open links below to read more..

 Swahili version!   English version!

 

July 23,2014

The newly released Fact sheet in this month, July 2014. Fact Sheet!

 Worldwide, it is estimated that 51 million girls younger than 18 are child brides. The majority of early marriages occur in West and East Africa and South Asia. Over the next decade, another 100 million girls will face early marriages.

Tanzania has one of the highest child marriage prevalence rates in the world. On average, almost two out of five girls will be married before their 18th birthday. In 2010, about 37% of the women aged 20-24 were married/in union before age 18. Data shows a 10% decline since 2004 (41%).

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Aprili 6, 2019. Wanachama wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania, (TAMWA), kimemchagua Joyce Shebe kuwa Mwenyekiti mpya wa bodi ya chama hicho.

 

 Katika uchaguzi huo, pia wanachama waliwachagua wajumbe wa bodi ambao ni wanahabari Leah Mushi, Raziah Mwawanga na Halima Muselem kutoka Zanzibar.

 Kabla ya Shebe, Alakok Mayombo alikuwa Mwenyekiti wa bodi ya chama hicho aliyeongoza kuanzia 2016 mpaka mwaka huu.

 Uchaguzi huo umefanyika katika mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika leo Aprili 6, 2019.

“Mimi si mzungumzaji  sana, mimi ni msikilizaji zaidi. Lakini ninachoweza kusema kwa sasa ni kuwa TAMWA ni wanachama. Sisi wanachama ndiyo tutakaoijenga TAMWA,”Joyce Shebe.

Shebe aliwataka wanahabari wanawake kuongeza ushirikiano kwa kuwa kwa kutumia kalamu zao wanaweza kuibadili au kuibomoa jamii.

 

Rose Reuben

Mkurugenzi Mkuu

TAMWA

Email: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it..

Mobile: 0764438084

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Women Coalition On Constitutionalism Rights For Women in Tanzania

December 17,2014

The Coalition of Women and Constitution held a one-day workshop with more than 30 community Radio editors to enhance their understanding of women’s rights issues in the Proposed Constitution.

TAMWA Executive Director, Valerie Msoka, who was one of facilitators, said TAMWA believes the media is a powerful vehicle for social change.

“The proposed constitution has looked at the plight of women in the past 53 years including, discrimitive laws, land issues, gender inequality and outdated culture and traditions and rectified these,” she said.

The coalition is made up of more than  50 Civil Society Organizations and Individual members who are defenders of Human Rights, especially women’s and Children’s rights; these includes Tanzania Media Women Association(TAMWA) Women Fund Tanzania (WFT), Tanzania Women Cross Party (TWCP)-ULINGO, , Tanzania Gender Networking Programme ( TGNP),  Tanzania Women Lawyers(TAWLA),Equality for Growth (EfG), Haki za Wanawake (HAWA), Kilimanjaro Women Information Exchange and Consultancy Organization (KWIECO), Shirikisho la Vyama vya Walemavu Tanzania (SHIVYAWATA), Tanzania Union Congress Tanzania (TUCTA), Tumaini Women Development Association (TUWODEA), Women Legal Aid Centre (WLAC), Zanzibar Gender Coalition(ZGC) na Wanawake wanaharakati binafsi.

 

July 19,2014

WOMEN COALITION ON CONSTITUTIONALISM RIGHTS FOR WOMEN MEETS WITH EDITORS

TAMWA Executive Director Ms Valerie Msoka talking to Editors from Tanzania media houses about  Women rights issues to be incorporated in the New Constitution during a meeting  between Women Coalition and editors held at TAMWA Resource Center  at Sinza Mori on Saturday July 19,2014.

 The Tanzania Media Women’s Association (TAMWA), in collaboration with the Women Coalition on Women’s Rights and Constitutionalism Rights in Tanzania met with editors from various media houses seeking their support in creating awareness on the women’s agenda in the new constitution. The meeting was held at TAMWA’s office in Dar es Salaam.

The meeting discussed issues that the Women Coalition seeks to address through the constitution, such as conflicting laws, norms and traditions which are affecting women’s access to basic human rights and the existence of discrimination and oppression against women and children, especially the girl child in our society.

 The coalition believes that redressing these issues will ensure that all Tanzanians, women and men, enjoy being part of a democratic society that respects human rights equality for all. This is because a constitution that is gender sensitive is built on principles of equality, dignity and respect for women and men and which will not allow for any form of discrimination and/ or oppression in the society.

 One of the member of Women Coalition in Constitutionalism Rights for Women, Dr Ave Maria Semakafu sharing Women's constitutional agenda that need editors attention during this time of constitution review process.

The Women Coalition also believes that the new constitution has the responsibility to ensure that all its action promotes and geared towards ensuring gender equality and empowering women as a means of achieving Tanzania’s goals of peace and security as well as a sustainable political, economic and social development.

 The Coalition consists of more than fifty organizations and individuals which defend women and human rights in Tanzania such as TAMWA, Equality for Growth (EFG), Tanzania Women Lawyer Association (TAWLA), Tanzania Gender Networking Programme (TGNP) and Tanzania Women Cross Party (TWCP-ULINGO).

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Mwandishi Wetu, TAMWA

Dar es Salaam. Viongozi wapya wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) wamefanya ziara katika vyombo vya habari jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujitambulisha.

 Viongozi hao, Mkurugenzi wa TAMWA, Rose Reuben na Mwenyekiti wa chama hicho, Joyce Shebe walitembelea vyombo vya habari kumi ikiwa ni awamu ya kwanza ya ziara hiyo.

Miongoni mwa vyombo vya habari vilivyotembelewa na viongozi hao wa TAMWA ni pamoja na Tumaini Media, Upendo Media, Radio Maria ,Star TV, Channel Ten, EFM Radio, Times FM Radio, Azam Media na kampuni  ya magazeti ya  Mwananchi Communication na The Citizen  na New  Habari Co-operation.

Shebe alisema lengo la ziara hiyo ni viongozi hao wapya wa TAMWA kujitambulisha kwa vyombo vya Habari ili kuimarisha uhusiano, kuhamasisha waandishi wanawake kujiunga na chama hicho cha kitaaluma.

“Ongezeko la wanachama wapya ndani ya TAMWA litawasaidia kunufaika na nafasi za kitaaluma kupata mikopo ya kujiendeleza na masomo ya elimu ya juu kama Shahada na kuhudhuria makongamano ya kitaaluma, fursa za mafunzo ya kitaalum,”alisema Shebe

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa TAMWA, Rose Reuben alipongeza jitihada za baadhi ya vyombo vya habari katika kutunga sera za  kuimarisha usawa wa kijinsia  na kutoa nafasi za uongozi kwenye  vyombo vyao.

 Kadhalika viongozi hao walipongeza jitihada za baadhi ya vyombo vya habari katika kutunga sera za kuimarisha usawa wa kijinsia kwenye nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya vyumba vya habari.

TAMWA ni shirikisho lisilo la kiserikali lililoanzishwa  miaka 31 iliyopita kwa lengo la kutetea haki na ustawi wa wanawake na watoto kupitia vyombo vya habari.

Vigezo vya kujiunga na TAMWA ni pamoja na kuwa mwanamke mwanahabari, shahada ya mawasiliano ya umma au ya habari na uzoefu wa kazi ya uandishi wa miaka mitatu.

Katika ziara hiyo TAMWA imekutana na kuzungumza na viongozi wa vyombo  vya habari  kama  wakurugenzi na wahariri wakuu, na kujifunza mambo mengi yanayoendelea ndani ya vyumba vya habari nchini.

 

Search