News/Stories

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Zaidi ya Wanachama 150 wa Chama cha Wanahabari Wanawake nchini- TAMWA, Jumamosi tarehe 14th April, 2018 wanafanya Mkutano Mkuu wa mwaka 2017 ambapo pamoja na mambo mengine, wanachama watapata fursa ya  kutathmini kazi zilizofanyika mwaka 2017, na utekelezaji wa mpango mkakati wa 2018-2019.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Mtandao wa wadau kutoka Asasi za kiraia  unaotetea marekebisho ya sheria na sera ihusuyo usalama barabarani Tanzaniatunapenda kumpongeza  na kumuunga mkono Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr John Pombe Magufuli kwa kuguswa na kutoa maagizo kunapo kuwa na matukio ya ajali za barabarani yanayotokea nchini ambayo yamekuwa na athari nyingi  kiuchumi na kijamii.

Latest News and Stories

Search