News/Stories

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

This is to officially congratulate three TAMWA members who emerged among winners of the Excellence in Journalism Awards (EJAT) for the year 2017! The celebrations which were held at GOLDEN TULIP, Dar- Es- Salaam on 12th May 2018 was coordinated by Media Council of Tanzania (MCT).

JANE SHIRIMA  - AZAM TV - HEALTH CATEGORY.

SALOME KITOMARI - NIPASHE - TOURISM AND CONSERVATION CATEGORY.

TUMAINI MSOWOYA - MWANANCHI - EDUCATION CATEGORY.

Hongera sana!!!

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania - TAMWA, Jumamosi 14/04/2018 kimefanya Mkutano Mkuu wa mwaka 2017 ambapo pamoja na mambo mengine,  wanachama walipata fursa ya kutathmini kazi zilizofanyika mwaka 2017, na utekelezaji wa mpango mkakati wa 2018 - 2019. Mkutano huo ni wa 30 tangu kuanzishwa chma hicho na ndicho chombo cha juu chenye mamlaka ya kurekebisha katiba yake, kuingiza wanachama wapya, kuchagua viongozi, kupitisha ripoti za mwaka na kutoa maamuzi kuhusu mipango na mikakati ya chama kuhusu utetezi.

 

Mwenyekiti wa TAMWA Bi Alakok Mayombo, akizungumza jambo wakati wa mkutano

 

Mwanzilishi wa TAMWA Bi Fatma Alloo, akizungumza na wanachama wakati wa mkutano mkuu

 

Baadhi ya Wanachama wa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mkutano

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Zaidi ya Wanachama 150 wa Chama cha Wanahabari Wanawake nchini- TAMWA, Jumamosi tarehe 14th April, 2018 wanafanya Mkutano Mkuu wa mwaka 2017 ambapo pamoja na mambo mengine, wanachama watapata fursa ya  kutathmini kazi zilizofanyika mwaka 2017, na utekelezaji wa mpango mkakati wa 2018-2019.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Mtandao wa wadau kutoka Asasi za kiraia  unaotetea marekebisho ya sheria na sera ihusuyo usalama barabarani Tanzaniatunapenda kumpongeza  na kumuunga mkono Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr John Pombe Magufuli kwa kuguswa na kutoa maagizo kunapo kuwa na matukio ya ajali za barabarani yanayotokea nchini ambayo yamekuwa na athari nyingi  kiuchumi na kijamii.

Latest News and Stories

Search