- TAMWA
- Hits: 327
TAMWA YAPONGEZA WABUNGE WANAWAKE KUCHANGISHA FEDHA KUJENGA VYOO VYA WATOTO WA KIKE NCHINI
Chama cha Wanahabari Wanawake - TAMWA kimefurahishwa na kinazidi kuupongeza Umoja wa Wabunge Wanawake nchini kwa juhudi ambazo unaendelea kuonyesha kutafuta kiasi cha Sh.3.2bilioni za kujenga vyoo vya mfano kwa wanafunzi wasichana na wenye mahitaji maalumu katika majimbo 264 ya uchaguzi nchini.
Read more: TAMWA YAPONGEZA WABUNGE WANAWAKE KUCHANGISHA FEDHA KUJENGA VYOO VYA WATOTO WA KIKE NCHINI