- TAMWA
- Hits: 366
Chama cha Wanahabari Wanawake nchini – TAMWA leo, kinaungana na mashirika yote nchini yanayotetea haki za binadamu hasa wanawake na watoto ulimwenguni kusherekea siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa tarehe 8 mwezi Machi kila mwaka.
Maadhimisho haya yanabeba kauli mbiu ya kitaifa inayosema “Wakati ni sasa: Wanaharakati Mijini na Vijijini kubadilisha maisha ya wanawake”, ambayo inatutaka wote tushirikiane kikamilifu kubadilisha maisha ya wanawake kwa kuondokana na ukatili wa kijinsia ili kupanua wigo wa fursa za usawa kiuchumi kwa wanawake.
Minister of Health Zanzibar, Mahmoud Kombo(Left) receiving TAMWA at 30 book and khanga on this week of
International Women's Day Week in Zanzibar from, one of the founder members of TAMWA and editor of the said book Miss Fatma Alloo.
Today, 1st of March 2018, The Danish Embassy Review Team visited TAMWA Office located at Sinza Mori in Dar es Salaam for the purpose of having general discussion about the partnership and progress of Prevention of and Reduction of Gender Based Violence(PRGBV) that TAMWA is implementing.
TAMWA has conducted a 2 days training of Journalists on Road safety issues. Aim of this training is to engage journalists to build a network and their understanding of the road safety crisis (Including Risk Factors) also to increase frequency of quality and accurate reporting on road safety issues to the public.
Read more: TWO DAYS JOURNALISTS TRAINING ON ROAD SAFETY ISSUES IN TANZANIA
MAFANIKIO YA TAMWA MACHI 2024 KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE
CALL FOR CONSULTANCY SERVICES TO CONDUCT SRHR REPORTING SURVEY IN THE MEDIA OF TANZANIA
Mkurugenzi TAMWA aonya wanafunzi na matumizi ya mitandao ya kijamii