- TAMWA
- Hits: 1264
Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kinampongeza Rais John Magufuli kwa kuzungumza kwa uwazi na kukemea suala la ongezeko la mimba kwa wanafunzi mkoani Rukwa. Rais Magufuli ambaye yupo ziarani mkoani Rukwa amesema kwa takwimu alizonazo, kulikuwa na wanafunzi 229 waliopata mimba mkoani humo mwaka jana pekee.

Dar es Salaam. Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania, (TAMWA), kinajumuika na Waafrika wote kumpongeza Rais mpya wa Ethiopia, Sahle-Work Zewde.
Sahle-work anakuwa Rais wa kwanza mwanamke kuiongoza Ethiopia baada ya kuteuliwa na bunge la nchi hiyo jana Octoba 25.
Taarifa iliyotumwa na TAMWA leo Oktoba 26, imesema Rais Sahle-Work, anaendelea kupeperusha bendera za wanawake waliowahi kuwa marais Afrika.
Marais wengine waliowahi kushika nyadhifa hizo ni pamoja na Ellen Johnson Sirleaf, (Liberia), Joyce Banda (Malawi) na Ameenah Gurib-Fakim, aliyewahi kuwa Rais wa Mauritius.
“Kuteuliwa kwake ni chachu ya mabadiliko zaidi kwa wanawake ambao awali hawakuaminika wanaweza kuongoza,”imesema taarifa hiyo ya TAMWA
“TAMWA, inaendelea kuhamasisha kuwepo kwa uwakilishi wa wanawake katika nafasi mbalimbali za uongozi hapa nchini,”imesema taarifa hiyo.
Katika moja ya hotuba zake Sahle-Work amesema; “Kukosekana kwa amani kwanza kunawaathiri wanawake, hivyo wakati wa uongozi wangu nahamasisha zaidi nafasi za wanawake katika kuleta amani.”

When Crossroads International senior officials visited TAMWA early today to discuss about potential partnership in the near future. From left is TAMWA Executive Director Rose Reuben, Strategic Manager Mr Davis Lumala, Crossroad International Director Heather Shapter and Program Officer Christine Nessier.
Juni 16, 2019. Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA), kinaungana na taasisi za umma na zisizo za umma zinazotetea haki za watoto duniani katika kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika Juni 16 kila mwaka.
Kauli mbiu ya mbiu ya mwaka huu ni Mtoto ni msingi wa taifa endelevu tumtunze tumlinde na kumuendeleza.
Pamoja na changamoto zinazomkabili mtoto wa kiafrika, lakini takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa ubakaji umeendelea kuwa ni janga la Taifa.
Takwimu zilizotolewa hivi karibuni na LHRC zinaonyesha kuwa katika kipindi cha miezi sita ya mwanzo wa mwaka 2018 watoto 2365 walibakwa, idadi ambayo ni sawa na watoto 394 kwa siku.
TAMWA is a non-partisan, non-profit sharing professional media membership association registered in 1987 under the society’s ordinance cap 337 of 1954 with registration number so 6763. The association also in 2004 complied with the new non-governmental organizations’ (NGO) law of 2002 with 0NGO1886 registration number. For operational purposes, TAMWA is also registered in Zanzibar under society act no 6 of 1995 with registration number 493. TAMWA has offices in Zanzibar and Dar es Salaam. TAMWA started with 12 media women, but the membership has grown to more than 160 women journalists. TAMWA has 34 years’ experience in partnership with other organizations, advocating for women and children’s rights through the use of media. TAMWA’S mission - to advocate for women and children’s rights by conducting awareness raising activities for cultural, policy and legal transformations in the society through the use of media. TAMWA visions, to havea peaceful Tanzania environment which respects human rights from a gender perspective.
The baseline survey Advancing Media advocacy to Rural and Urban Women and Girls’ SRHR in Tanzania aim at enhancing the project towards enriching media practitioners’ skills in promoting sexual and reproductive health rights outcomes in Tanzania. The project focuses on the increasing competencies of media practitioners on reporting SRHR OUTCOMES, targeting the Mainstream Media (TV, Newspapers and Radio) Community radio Online Media in order to increase the proportion of media sensitization on SRHR contents.
To come up with scientific ground of the project goals, ensure effectiveness and efficiencies of the project, TAMWA is conducting a baseline survey to inform the current SRHR media contents and the media practitioners understanding of the SRHR but also understanding best media channels for SRHR issues. The findings will enable the project team to come up with the relevant training manual or tool that will help TAMWA to build capacity, support and motivate media practitioners to cover SRHR issues including training.