- TAMWA
- Hits: 1830
SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI
MAADHIMISHO YA MIAKA 30 YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI
MAADHIMISHO YA MIAKA 30 YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI
Tembelea mitandao yetu:
1.Twitter: https://twitter.com/TAMWA_
Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kinatangaza nafasi kwa makampuni ya udalali na madalali binafsi kuuza magari yake mawili kama yanavyoonekana katika tangazo hapo chini.
Tafadhali tuma barua ya maombi kupitia barua pepe This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. kwa maelezo zaidi tembelea ofsi zetu au piga simu namba +255222772681 au 0719485006 au 0754462632
Sekretarieti ya Chama cha Wanahabri Wanawake Tanzania – TAMWA, inapenda kuwakumbusha wanachama wake kuwa mkutano mkuu wa Chama kwa mwaka 2022, utahusisha uchaguzi wa wajumbe wa Bodi, hivyo tunawahimiza wanachama wanaowiwa kuwania nafasi hizo kutuma maombi yao mapema kupitia barua pepe This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. Cc: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.
Fomu za maombi zinapatikana katika tovuti ya Chama www.tamwa.org
Mwisho wa kutuma maombi ni Machi 11, 2022.
Kelvin Mtewele - Afisa Utawala, TAMWA.
Aprili 6, 2019. Wanachama wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania, (TAMWA), kimemchagua Joyce Shebe kuwa Mwenyekiti mpya wa bodi ya chama hicho.