Gallery

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kinatangaza nafasi kwa makampuni ya udalali na madalali binafsi kuuza magari yake mawili kama yanavyoonekana katika tangazo hapo chini.

 

Tafadhali tuma barua ya maombi kupitia barua pepe This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. kwa maelezo zaidi tembelea ofsi zetu au piga simu namba +255222772681 au  0719485006 au 0754462632

 

 

 

 

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive
  1. Tuliweza kufanya mahojiano na Mwanaharakati, Waziri na Balozi wa zamani, Mama Getrude Mongela: Finya hapa kupata zaidi: https://www.instagram.com/p/C4DCBDJNGr4/
  1. Tuliweza kufanya mahojiano na Mkurugenzi wa TAMWA, Dk Rose Reuben: Finya hapa kusikiliza zaidi: https://www.instagram.com/p/C4M_5NHtZO3/
  1. Tuliweza kufanya mahoajino na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Ana Makakala: Kusikiliza zaidi. Finya hapa: https://www.instagram.com/p/C5IOVDJNSnh/
  1. Tuliweza kufanya mahoajino na Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Doroth Semu: Kusikiliza zaidi finya hapa: https://www.instagram.com/p/C4qSGabtrrZ/
  1. Tulikuwa na Makala fupi ya video ya Dereva wa Bodaboda Singida, Marry Kalambwa” Finya hapa kumfahamu: https://www.instagram.com/p/C4ulIZvNZpF/
  1. Tulikuwa na Makala fupi ya video ya Semeni Kalori: Semeni: Mama wa watoto watano, anayeendesha bodaboda, kusomba mkaa milimani. Finya hapa kumjua zaidi: https://www.instagram.com/p/C4hyRrmtevi/
  1. Tulikuwa na Makala fupi ya video ya Paulina Mathayo, anayeponda kokoto, huko Dodoma; Finya hapa kumfahamu: https://www.instagram.com/p/C5ILJSSthYu/

Tembelea mitandao yetu:

       1.Twitter: https://twitter.com/TAMWA_ 

  1. Instagram: https://www.instagram.com/tamwa_/
  2. Facebook: https://www.facebook.com/media.womenassociation

       4. TAMWA TV: //www.youtube.com/@tamwaonlinetv7655 

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Sekretarieti ya Chama cha Wanahabri Wanawake Tanzania – TAMWA, inapenda kuwakumbusha wanachama wake kuwa mkutano mkuu wa Chama kwa mwaka 2022, utahusisha uchaguzi wa wajumbe wa Bodi, hivyo tunawahimiza wanachama wanaowiwa kuwania nafasi hizo kutuma maombi yao mapema kupitia barua pepe This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. Cc: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Fomu za maombi zinapatikana katika tovuti ya Chama www.tamwa.org

Mwisho wa kutuma maombi ni Machi 11, 2022.

Kelvin Mtewele - Afisa Utawala, TAMWA.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

TAMWA AGM April 25-26, 2024

Mkutano Mkuu wa Wanachama wa TAMWA unafanyika kesho, Aprili 25 na Aprili 26. Njoo ukiwa umevaa sare yako ya miaka 36 ya TAMWA, njoo tuzungumze, njoo tufahamiane, njoo ukijue chama chako. #TAMWAAGM2024 #ZuiaUkatili #WomenInMediaTz

Search