- TAMWA
- Hits: 1740
SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI
MAADHIMISHO YA MIAKA 30 YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI
MAADHIMISHO YA MIAKA 30 YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI
Aprili 6, 2019. Wanachama wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania, (TAMWA), kimemchagua Joyce Shebe kuwa Mwenyekiti mpya wa bodi ya chama hicho.
Tembelea mitandao yetu:
1.Twitter: https://twitter.com/TAMWA_
Sekretarieti ya Chama cha Wanahabri Wanawake Tanzania – TAMWA, inapenda kuwakumbusha wanachama wake kuwa mkutano mkuu wa Chama kwa mwaka 2022, utahusisha uchaguzi wa wajumbe wa Bodi, hivyo tunawahimiza wanachama wanaowiwa kuwania nafasi hizo kutuma maombi yao mapema kupitia barua pepe This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. Cc: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.
Fomu za maombi zinapatikana katika tovuti ya Chama www.tamwa.org
Mwisho wa kutuma maombi ni Machi 11, 2022.
Kelvin Mtewele - Afisa Utawala, TAMWA.
Godwin Assenga, Tamwa
Kisarawe. Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kimeadhimisha Siku ya mtoto wa kike Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe.
Maadhisho hayo yalifanyika kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe na wadau wa masuala ya jinsia.
Siku ya mtoto wa kike huadhimishwa Oktoba 11 kila mwaka ambapo mwaka huu maadhikisho hayo yamebebwa na kauli mbiu isemayo; “Imarisha uwezo wa mtoto wa kike” Tokomeza Ukeketaji, Mimba na Ndoa za Utotoni.
Maadhimisho hayo yamefanyika katika viwanja vya shule ya msingi Kazimzumbwe iliyopo Wilaya ya Kisarawe na kuhudhuriwa na mgeni rasmi ambaye ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashari ya Kisarawe, Mussa Gama.
Katika maadhimisho hayo watoto walipata fursa ya kufikisha ujumbe wao mbele ya mgeni rasmi kwa njia mbalimbali ikiwamo maigizo, ngonjera na risala.
Pia TAMWA kwa kushirikiana na kampuni ya Asas Diary waligawa maziwa kwa wanafunzi walioshiriki maadhimisho hayo.
Wanafunzi toka shule mbalimbali wilayani Kisarawe wakifanya maandamano
Mmoja wa wanafunzi akizungumza jambo mbele ya mgeni rasmi na wageni waalikwa
Kikundi cha skauti kisarawe wakionyesha gwaride mbele ya mgeni rasmi
Kikundi cha maigizo kisarawe kikifanya igizo la madhara ya ukeketaji mbele ya mgeni rasmi