News/Stories

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

When Crossroads International senior officials visited TAMWA early today to discuss about potential partnership in the near future. From left is TAMWA Executive Director Rose Reuben, Strategic Manager Mr Davis Lumala, Crossroad International Director Heather Shapter and Program Officer Christine Nessier.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Juni 16, 2019. Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA), kinaungana na taasisi za umma na zisizo za umma zinazotetea haki za watoto  duniani katika  kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika  Juni 16 kila mwaka.

Kauli mbiu ya mbiu ya mwaka huu ni Mtoto  ni msingi wa taifa endelevu tumtunze tumlinde na kumuendeleza.

Pamoja na changamoto zinazomkabili mtoto wa kiafrika, lakini takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa ubakaji umeendelea kuwa ni janga la Taifa. 

Takwimu zilizotolewa hivi karibuni na LHRC zinaonyesha kuwa katika kipindi cha miezi sita ya mwanzo wa mwaka 2018 watoto 2365 walibakwa,  idadi ambayo ni sawa na watoto 394 kwa siku.

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Latest News and Stories

Search