News/Stories

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Baada ya miaka 6 ya mafanikio makubwa, Joyce Shebe anamaliza muda wake kama Mwenyekiti wa bodi ya TAMWA.

Amewaachia wanachama kumbukumbu ya #TuzozaSamia Kalamu, maadhimisho ya miaka 36 ya TAMWA, na uwekezaji imara wa taasisi.
Asante kwa uongozi uliotukuka! 

#TAMWAAGM #TAMWA #JoyceShebe #WanawakeViongozi #MafanikioYaUongozi #TuzoZaSamiaKalamu

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Dk. Kaanaeli Kaale ameanza rasmi safari ya kuongoza Bodi ya TAMWA kwa miaka mitatu baada ya kuchaguliwa na wanachama wa TAMWA katika Mkutano Mkuu uliofanyika jijini Dsm tarehe 28 June 2025 .

Dk. Kaale ameahidi kuendeleza mafanikio ya waliotangulia na kuhimiza matumizi ya TEHAMA, usawa wa kijinsia na uandishi wa haki kipindi hiki cha uchaguzi. 

#TAMWAAGM2025 #TAMWA #WanawakeViongozi #UsawaWaKijinsia #HabariNaTEHAMA

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

CHAMA CHA WANAHABARI WANAWAKE TANZANIA TAMWA  kinawatangazia  wanachama  wake  kuwa  kutakuwa  na  Mkutano  Mkuu  wa  Wanachama (AGM)   utakaofanyika  Juni 13-14, 2025.

LENGO LA MKUTANO MKUU WA AGM NI:

• Uchaguzi wa wanachama  wapya  kwamujibu   wa Katiba ya Chama.
• Tathmini ya  mwenendowa chama – mafanikio, changamoto, namwelekeompya.
• Uwasilishajiwa  taarifa  ya  mapato  namatumizi  ya chama.
• Uwasilishaji  wa  taarifa za   utekelezaji  wamiradi  namustakabali  wa TAMWA.
• Fursaya   wanachamakutoa  maoni  namapendekezo  ya  kuimarisha  mchangowa TAMWA katikajamii.

Mkutano huu utafanyika tarehe 13-14 Juni, 2025

• Eneo: Ukumbi wa TAMWA, Sinza, Mori, Dar es Salaam
• Moduli: Kwa kufika ofisi za TAMWA na kwa njia ya Zoom 
• Muda: Saa 4 asubuhi

Wanachama  wote  mnahimizwa  kuhudhuria

Kwa maelezo  zaidi, tafadhaliwasiliananaTAMWA kupitia;

Barua pepeThis email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. Simu:0716622200

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

TAMWA AGM April 25-26, 2024

Mkutano Mkuu wa Wanachama wa TAMWA unafanyika kesho, Aprili 25 na Aprili 26. Njoo ukiwa umevaa sare yako ya miaka 36 ya TAMWA, njoo tuzungumze, njoo tufahamiane, njoo ukijue chama chako. #TAMWAAGM2024 #ZuiaUkatili #WomenInMediaTz

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive
  1. Tuliweza kufanya mahojiano na Mwanaharakati, Waziri na Balozi wa zamani, Mama Getrude Mongela: Finya hapa kupata zaidi: https://www.instagram.com/p/C4DCBDJNGr4/
  1. Tuliweza kufanya mahojiano na Mkurugenzi wa TAMWA, Dk Rose Reuben: Finya hapa kusikiliza zaidi: https://www.instagram.com/p/C4M_5NHtZO3/
  1. Tuliweza kufanya mahoajino na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Ana Makakala: Kusikiliza zaidi. Finya hapa: https://www.instagram.com/p/C5IOVDJNSnh/
  1. Tuliweza kufanya mahoajino na Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Doroth Semu: Kusikiliza zaidi finya hapa: https://www.instagram.com/p/C4qSGabtrrZ/
  1. Tulikuwa na Makala fupi ya video ya Dereva wa Bodaboda Singida, Marry Kalambwa” Finya hapa kumfahamu: https://www.instagram.com/p/C4ulIZvNZpF/
  1. Tulikuwa na Makala fupi ya video ya Semeni Kalori: Semeni: Mama wa watoto watano, anayeendesha bodaboda, kusomba mkaa milimani. Finya hapa kumjua zaidi: https://www.instagram.com/p/C4hyRrmtevi/
  1. Tulikuwa na Makala fupi ya video ya Paulina Mathayo, anayeponda kokoto, huko Dodoma; Finya hapa kumfahamu: https://www.instagram.com/p/C5ILJSSthYu/

Tembelea mitandao yetu:

       1.Twitter: https://twitter.com/TAMWA_ 

  1. Instagram: https://www.instagram.com/tamwa_/
  2. Facebook: https://www.facebook.com/media.womenassociation

       4. TAMWA TV: //www.youtube.com/@tamwaonlinetv7655 

Star InactiveStar InactiveStar InactiveStar InactiveStar Inactive

Call For the Consultancy Services to Conduct Survey on Current Prevalence and Mechanisms to Prevent or Deal with Sexual Harassment, Sexual Corruption and Efforts of Gender Mainstreaming in the Media of Tanzania

 

1.0 BRIEF DESCRIPTION OF TAMWA

Tanzania Media Women’s association (TAMWA) is a non-partisan, non-profit sharing professional media membership association registered in 1987 under the society’s ordinance cap 337 of 1954 with registration number so 6763. The association also in 2004 complied with the new non-governmental organizations’ (NGO) law of 2002 with 0NGO1886 registration number. Our mission is to advocate for women and children’s rights by conducting awareness raising activities for cultural, policy and legal transformations in the society through the use of media. We envision having peaceful Tanzania environment which respects human rights from a gender perspective.

Page 1 of 20

Latest News and Stories

Search